Monday, March 4, 2013

LIBOLO NOMA SANA NYIE KUMUUA SIMBA 5-0 SI MCHEZO

 Kikosi cha Simba, kilichoikabili timu ya Libolo ya Angola leo, ukumuondoa Haruna Moshi. Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa timu ya Simba imefungwa mabao 4-0 katika mchezo wake wa marudiano na timu ya Libolo ya Angola, katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa uliochezwa leo nje kidogo na mji wa Angola.

Bao la kwanza limefungwa katika kipindi cha kwanza na mabao matatu yakifungwa katika kipindi cha pili.
Hii ni moja ya actions ya mchezo wa timu hizo uliopita katika uwanja wa Taifa.

No comments:

Post a Comment