Monday, September 29, 2014

HUYU NDIYE MARK JAMES MWANDOSYA AMBAYE WENGI WANAMTAJA KUWA HUENDA AKAWA NI CHAGUO LAO 2015

Mwandosya was a youth leader of the Tanganyika African National Union (TANU) from 1967 to 1968 and became a member of TANU in 1971, remaining a member when TANU became the Chama Cha Mapinduzi (CCM) in 1977. He taught at the University of Dar es Salaam from 1977 to 1987, as a lecturer from 1977 to 1980, as a senior lecturer from 1980 to 1983, and as an associate professor from 1983 to 1987.
He was Commissioner at the Ministry of Water, Energy and Minerals from 1985 to 1990, Principal Secretary at the Ministry of Water, Energy and Minerals from 1990 to 1992, and Principal Secretary at the Ministry of Industries and Trade from 1992 to 1993. From 1994 to 2000, he again taught at the University of Dar es Salaam, this time as a professor.
He has been a member of the National Assembly of Tanzania for the CCM since 2000, and he was Minister of Communication and Transport from 2000 to 2005. He was then appointed as Minister of State in the Vice-President's Office responsible for the Environment on January 4, 2006.[2] He was moved to the position of Minister of Water and Irrigation on February 12, 2008.[3]

Education

  • University of Birmingham - UK PhD (Electrical & Electronics Eng.) 1974 - 1977
  • Aston University - UK BSc. (Engineering) Hons. 1971 - 1974
  • Dar es Salaam Technical College A-Level Education 1969
  • Malangali Secondary School O-Level Education 1965 - 1968
  • Chunya Middle School Primary Education 1961 - 1964
  • White Fathers Chunya Primary School 1959 - 1960
  • Majengo Pri 1957 - 1958

Saturday, September 27, 2014

LULU ZA TANZANIA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA LETU.





















Na Kandakuwawi Mganda, Dodoma
KIMYA kingi kina mshindo mkuu: huu ni msemo wa wahenga ambao msemaji
wake alikua na maana ya matokeo makuu kwa kila mwenye kusubili
[subila], hali hiyo humuonyesha mtu huyo kuwa ni muungwana wa maneno
akisubili vitendo.
Kuna misemo mingi yanamna hii yenye maana mbalimbali ambayo huanza
kufundishwa kuanzia Elimu ya msingi ili kuwajengea watoto wa taifa
hili muelekeo wa maisha ndani na nje taifa hili.
Matunda ya mtu aliyeyapokea mafunzo kama hayo vizuri toka kwa walimu,
wazazi au walezi wake huonekana kwenye mijumuiko ya kijamii na hasa
linapokuja swala la kimaendeleo.
Bila shaka mtu kama huyo lazima ajulikane kiutendaji hasa kama amewahi
kuwa katika nafasi yoyote ya kiuongozi iwe ya chini kama mjumbe wa
nyumba kumi, kumi au ya juu kama uwaziri na nyinginezo bila kuwa na
majivuno yoyote.
Na hata linapokuja swala la kuwa anahitaji kitu si mwepesi wa kusema
ni mwepesi wa kutoa maelekezo katika makundi mbalimbali ya kijamii bila
kujali yale ya chini yaani wasiosoma na masikini lakini wasomi na
matajili na hata siku akifungua kinywa hukosoa viongozi au wale
waendao kinyume na maadili ya jamii au hata kisiasa.
Ona mtu mwenye sifa kemkem kama Prof Mark Mwandosya ambaye pamoja na
kuwa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais [kazi maalu] aliye wahi kushika
nyadhifa nyingine nyingi zikiwemo uwaziri huku akijenga wasifu wake kwa
kugombea nafasi ya urais 2005 akiingia tatu bora na Rais wa sasa Dkt
Jakaya Kikwete na Dkt Salim Ahmed Salim.
Akikaa kimya baada ya jina lake kuondolewa na kikwete kuchukua nafasi
hiyo ya ugombea, bado mpaka sasa Prof Mwandosya anaona kazi hiyo ya
urais siyo kazi rahisi ya kumpa mtu anayejifunza uongozi na hasa wa
kisiasa bali hupewa mtu mwenye uadilifu anayejua kuendeleza
alichokikuta.
Prof Mwandosya  siyo mroho wa kutaka mambo kwa pupa karidhika na
Uwaziri huo unaichagizwa na Ubunge wa jimbo la Rungwe Mashariki [CCM]
ndiyo maana mpaka sasa hana alilolisema kuhusu nafasi ya Rais katika
uchaguzi ujao mwakani amekuwa mtulivu sana tofauti na wengine ambao
wameshacheza rafu kwa kuvunja kanuni za chama chao kwa kutangaza nia zao
mapema.
pengine kutosema kwake lolote mpaka sasa anasubili kuwasuprise
wananchi ngoja tuone Prof subila yavuta heri hata kama hutagombea
nafasi hiyo wengi twatakiwa kujifunza kwako.
Wananchi wakati wanasubili kwa hamu nani watatangaza nia ya kugombea
nafasi hiyo ya uongozi yenye hadhi kubwa ili ibaki nafasi ya kutoa
hukumu ya kura.

Friday, September 26, 2014

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ya ahidi kujenga chumba cha Maabara katika shule ya sekondari ya Viwandani manispaa ya Dodoma

Mgeni Rasmi kwenye Mahafari ya 6 ya kidato cha Nne ya Shule ya
Viwandani Sekondari Meneja Masoko wa Airtel Kanda ya kati Anthony
Msanga akitoa cheti kwa mmoja wa wahitimu wakati wa mahafali hayo

Meneja Masoko wa kampuni ya Simu za mikononi ya Airtel Anthony
Msanga akitoa hutuba kwenye mahafali ya sita ya wanafunzi wa kidato
cha nne katika shule ya sekondari ya Viwandani, walioka kulia ni Mkuu
wa shule hiyo Zainab Rajab na Mwenyekiti wa Bodi ya shule Oliver
Masangia.
Wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya
Viwandani manisapaa ya Dodoma wakiwa katika mahafari hayo.
Mkuu wa Shule ya Viwandani Sekondari  manispaa ya Dodoma Zainab
Rajab akisoma taarifa ya shule hiyo kwenye mahafari ya 6 ya kidato cha
Nne yalihusisha wahitimu 115.

PICHA NA JOHN BANDA