Friday, April 28, 2017

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI KWA WATUMISHI WA UMMA LEO MJINI DODOMA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa Watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe katika vitabu hivyo vya taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa kitabu cha Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinyanyua juu Taarifa na vitabu vye majina 9,932 ya watumishi wenye vyeti vya kugushi.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi zaidi ya 9,932 waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia majina hayo pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan  mara baada ya kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi hao wa umma ambao wamegushi vyeti vyao .
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisoma jina mojawapo la mtumishi aliyegushi cheti katika taarifa hiyo.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiwa pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakiangalia vitabu vyenye majina ya watumishi wa Umma zaidi ya 9,932 waliogushi vyeti vyao vya elimu ya Sekondari.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa , Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako, Spika wa Bunge Job Ndugai, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki wakiminya kitufe kuashiria maadhimisho ya miaka 10 ya Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akihutubia viongozi mbalimbali, wanafunzi wa UDOM, pamoja na watumishi wa Umma mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akagana na watumishi mbalimbali wa umma, viongozi pamoja wanafunzi wa UDOM mara baada ya kumaliza kuhutubia katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia katika hadhara hiyo katika Chuo kikuu cha Dodoma UDOM.
 Wanafunzi wa UDOM wakisikiliza kwa makini Hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika maadhimisho ya miaka 10 toka kuanzishwa kwake.
 Baadhi ya viongozi mbalimbali wakifatilia kwa makini Hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika maadhimisho ya miaka 10 ya Chuo cha UDOM toka kuanzishwa kwake.
 Baadhi ya Makatibu wakuu pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali wakifatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
 Baadhi ya Makatibu wakuu pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, wanafunzi pamoja na walimu wa  UDOM wakipiga makofi wakati wakimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiwasili katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
 Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Ukumbi wa Chimwaga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya miaka 10 ya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU

Wednesday, April 26, 2017

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA SHEREHE ZA MIAKA 53 YA MUUNGANO MJINI DODOMA.

MUU01
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akihutubia wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na mabalozi kutoka mataifa tofauti wanaowakilisha nchi zao.
MUU3
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Mh. Ali Hassan Mwinyi kulia ni Kaimu Jaji Mkuu Mh. Profesa Ibrahim Hamisi Juma
MUU4
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Mh. Ali Hassan Mwinyi aliyeketi katikati na kulia ni  Kaimu Jaji Mkuu Mh. Profesa Ibrahim Hamisi Juma
MUU5
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  kulia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dk. Ali Mohamed Shein
MUU6
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dk. Ali Mohamed Shein katikati ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
MUU7
Gadi ya “Komando” la vijana likiwajibika kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
MUU8
Kwaya ya Makongoro kutoka mkoani Mwanza ikitumbuiza katika maadhimisho hayo yaliyofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
MUU1
Kikosi cha Komandoo wa JWTZ kikitoa heshima kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
MUU9

ANGALIA PICHA ZOTE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA MUUNGANO DODOMA.



Onesho la ndege vita kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

Onesho la mbwa wa polisi  kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

 
Onesho la Komandoo wawili kuvuta lori la tani 7 kwa mikono kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Kikosi cha Komandoo wa JWTZ kikitoa heshima kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na walioshiriki katika zoezi la kuchanganya udongo kuasisi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Raisn Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasili kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipeana mikono na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwenye sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma  Picha  zote na  Ikulu

Friday, April 21, 2017

NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA NI MADRID NA MADRID, MONACO NA JUVENTUS .

3F736F5700000578-0-image-m-10_1492770046058
Droo ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa imekamilika na Real Madrid atakutana na Atletico Madrid katika mechi ya kwanza ya hatua hiyo.
Nusu fainali ya pili, itakuwa ni AS Monaco dhidi ya Juventus mechi ya kwanza ikipigwa nchini Ufaransa.

3F74095300000578-4431786-image-a-14_1492770960100

WAZIRI MKUU AONGOZA WABUNGE KUAGA MWILI WA DR ELLY MACHA BUNGENI MJINI DODOMA.


Z
Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiwa na Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa wakati wakisubiri kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Marehemu Mhe.Elly Marko Macha katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8347-mwili ukiwa umebebwa na wapambe wa spika
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiwa na Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa wakati wakisubiri kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Marehemu Mhe.Elly Marko Macha katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8396-mchungaji akiongoza misa
 Mchugaji wa kanisa la KKKT Dodoma akiongoza ibada fupi ya kumwombea Marehemu Mhe.Elly Marko Macha Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8420-viongozi
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakiwananaWaziriMkuuMhe.KassimMajaliwanaNaibuSpikaMhe.Dkt Tulia Ackson, KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMbowenaWaziriwaSera,Bunge,Kazi,Vijana,AjiranaWalemavuMhe.JenistaMhagamawakiwakatikaviwanjavya Bunge tayarikwaIbadafupiyayakumwombeaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA).
8465-kiongozi wa kambi ya upinzani
KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMboweakitoasalamuzarambirambikwaniabayakambiyaupinzanikwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8491-Waziri Mkuu akiongea
WaziriMkuuMhe.KassimMajaliwaakitoasalamuzarambirambikwaniabayaSerikalikwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8510-Spika akizungumza
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakitoasalamuzarambirambikwaniabaya BungekwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8516-sehemu ya wabunge
BaadhiyaWabungewakiwakatikaviwanjavya Bunge Dodoma kwaajiliyakutoaheshimazamwishozamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko MachaaliyekuwaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA).
8542-spika akitoa salamu za mwisho
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha(CHADEMA)katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma
8545-waziri mkuu akiaga
WaziriMkuuMhe.KassimMajaliwaakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
ZZZ
KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMboweakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8556-waziri wa habari
Waziri waHabari,Utamaduni,SanaanaMichezoMhe.HarrisonMwakyembeakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8565-naibu waziri akitoa salamu za mwisho
NaibuWaziriwaHabari,Utamaduni,SanaanaMichezoMhe.AnastaziaWamburaakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8523-familia ya marehem
FamiliayamarehemuMhe.Elly Marko Macha(waliokaamstariwambele),wakiongozwanakaka wamarehemu,dada,namtotowamarehemuwakiwakatikaviwanjavyabungekwaajiliyaibada.
PichazotenaDaudiManongi-MAELEZO, DODOMA