Tuesday, August 11, 2015

ANGALIA PICHA 50 ZA LOWASA AKIENDA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI(NEC)


Mgombea Uraisi kupitia ukawa Edward Lowassa akiwa katika gari lake kuelekea  Tume ya uchaguzi kuchua fomu leo
haya ni maandamano ya kumsindika Lowassa kuchukua fom eneo la barabara ya bibititi katika 

moja ya shamrashamra mwqendesha bodaboda aserereka barabara ya OHIO karibu na serenna Hotel

huyu jembe mwana

Vijana wakiwa  kwenye kwenye mchakachaka

wakielekea tume ya uchaguzi

hizo ni shamra shamra

wafanyakazi mbalimbali wakiwa barabarani eneo la

gari la magereza  likipita eneo la barabara ya Ohio wakishangilia maandamano

Gari la magereza  likipita eneo la barabara ya Ohio wakishangilia maandamano huku wakionyesha vidole kuashiria ukawa 


jeshi la polisi wakiwa katika doria

baadhiya wafanyakazi nje ya ofisi zao

wakiwa wamebeba jenezahuku wakiweka mikono vichwani kwa huzuni na kilio

wamebeba kiloba cha machupa wakiimba maisha bora kwa kila mtanzania kuuza chupa za plastiki

wamasai nao wamo

hicho ni kibuyu wakitia ubani kumuombea Lowassa kuingia ikulu

mashabiki wakiwa na hiki kibuyu

hiyo nyumi

jamaa huyu akiwa na funguo akijaribu kufungua mlango wa Ikulu

hiii nyomi ya mtu

wakielekea tume ya uchaguzi

jembe letu

kijana huyu  ambaye amejipaka unga kichwani ambaye akifanya Lowassa



akiserebuka barabarani

hawa mashabiki  mmoja akifanya mganga wa jadi  akielekea  tume ya uchaguzi

mdundiko

maandamano

maandamano

mchaka mchaka


wabunge  mchngaji Msigwa na Godbles Lema

gari la mama regina Lowassa

Gari la lowassa


wanahabari

mwenyeki wa chadema Freeman Mbowe

James Mbatia

wapiga picha

wapiga picha



sugu

maandamano


muuza kadi

hali

ulinzi