Friday, April 21, 2017

WAZIRI MKUU AONGOZA WABUNGE KUAGA MWILI WA DR ELLY MACHA BUNGENI MJINI DODOMA.


Z
Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiwa na Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa wakati wakisubiri kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Marehemu Mhe.Elly Marko Macha katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8347-mwili ukiwa umebebwa na wapambe wa spika
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiwa na Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa wakati wakisubiri kupokea mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Marehemu Mhe.Elly Marko Macha katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8396-mchungaji akiongoza misa
 Mchugaji wa kanisa la KKKT Dodoma akiongoza ibada fupi ya kumwombea Marehemu Mhe.Elly Marko Macha Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) katika viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.
8420-viongozi
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakiwananaWaziriMkuuMhe.KassimMajaliwanaNaibuSpikaMhe.Dkt Tulia Ackson, KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMbowenaWaziriwaSera,Bunge,Kazi,Vijana,AjiranaWalemavuMhe.JenistaMhagamawakiwakatikaviwanjavya Bunge tayarikwaIbadafupiyayakumwombeaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA).
8465-kiongozi wa kambi ya upinzani
KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMboweakitoasalamuzarambirambikwaniabayakambiyaupinzanikwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8491-Waziri Mkuu akiongea
WaziriMkuuMhe.KassimMajaliwaakitoasalamuzarambirambikwaniabayaSerikalikwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8510-Spika akizungumza
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakitoasalamuzarambirambikwaniabaya BungekwafamiliayaMarehemuMhe.Elly Marko MachaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,MjiniDodoma.KushotokwakeniViongozimbalimbaliwaSerikalina Bunge.
8516-sehemu ya wabunge
BaadhiyaWabungewakiwakatikaviwanjavya Bunge Dodoma kwaajiliyakutoaheshimazamwishozamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko MachaaliyekuwaMbungewaVitiMaalum(CHADEMA).
8542-spika akitoa salamu za mwisho
Spikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.JobNdugaiakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha(CHADEMA)katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma
8545-waziri mkuu akiaga
WaziriMkuuMhe.KassimMajaliwaakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
ZZZ
KiongoziwakambirasmiyaUpinzaniBungeniMhe.FreemanMboweakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8556-waziri wa habari
Waziri waHabari,Utamaduni,SanaanaMichezoMhe.HarrisonMwakyembeakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8565-naibu waziri akitoa salamu za mwisho
NaibuWaziriwaHabari,Utamaduni,SanaanaMichezoMhe.AnastaziaWamburaakitoaheshimazamwishokwamwiliwaMarehemuMhe.Elly Marko Macha (CHADEMA) katikaviwanjavyaBunge,Mjini Dodoma.
8523-familia ya marehem
FamiliayamarehemuMhe.Elly Marko Macha(waliokaamstariwambele),wakiongozwanakaka wamarehemu,dada,namtotowamarehemuwakiwakatikaviwanjavyabungekwaajiliyaibada.
PichazotenaDaudiManongi-MAELEZO, DODOMA

No comments:

Post a Comment