Thursday, March 21, 2013

Kampuni za simu za mkononi zaongoza kutangaza biashara nchini



 Mkurugenzi Mtendaji wa Push Observer, Rubelyn Alcantara akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisini mwa Push Observer, Kinondoni.
 Baadhi ya maofisa kutoka makampuni mbali mbali wakielekezwa jinsi kampuni ya Push Observer inavyofanya shughuli zake kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo

No comments:

Post a Comment