Saturday, March 30, 2013

BREAKING NEWS:UHURU KENYATA ALICHAGULIWA KIHALALI

BREAKING NEWS: Mahakama Kuu nchini Kenya imetoa rasmi hukumu yake dhidi ya kesi ya kulalamikia matokeo yaliyotangazwa na IEBC yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta na mgombea mwenza wake Willliam Ruto.

Mahakama hiyo imeamua kwamba Uhuru Kenyatta na William Ruto walichaguliwa kwa njia ya haki.
 Mahakama Kuu nchini Kenya imetoa rasmi hukumu yake dhidi ya kesi ya kulalamikia matokeo yaliyotangazwa na IEBC yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta na mgombea mwenza wake Willliam Ruto.

Mahakama hiyo imeamua kwamba Uhuru Kenyatta na William Ruto walichaguliwa kwa njia ya haki

No comments:

Post a Comment