Thursday, March 7, 2013

KIBANDA APELEKEA S.AFRICA KWA MATIBABU



 Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Absalom Kibanda, akiwa ndani ya Ndege ya Flightlink.
 Absalom Kibanda akiwa na mkewe ndani ya Ndege, Anjella
Semaya, tayari kuanza safari ya kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa matibabu.
 Baadhi ya waandishi na viongozi wa jukwaa la wahariri wakiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbi kwa ajili ya kumjulia hali.
 Absalom Kibanda akiwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kabla ya kusafirishwa kwenda Afrika ya kusini.

No comments:

Post a Comment