Saturday, August 31, 2013

KAMA KAWAIDA KIJANA KUTOKA MOROGORO FRANCIS CHEKA AMKALISHA PHIL WILLIAMS KUTOKA MAREKANI

  Bondia Mmarekani Phill Williams (kulia) akichapana na Francis Cheka wa Tanzania katika pambano lao lililomalizika usiku huu kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
                                             hapa ngumi zimekolea kisawasawa .
Waziri wa Habari, Fenella Mukangara (wa pili kushoto) akimvisha Mknda wa Ubingwa wa Dunia wa WBF Bondia Francis Cheka baada ya kumchapa kwa Pointi mpinzani wake Mmarekani, Phill Williams, katika pambano lao la raundi 12 lililofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku huu.

No comments:

Post a Comment