Friday, August 2, 2013

WAZIRI MKUU WA THAILAND AONDOKA BONGO BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU NCHINI.


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Waziri Mkuu wa Thailand kwa maafisa waandamizi mbalimbali wa serikali wakati wa kumsindikiza mgeni huyo aliyehitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini mchana huu. Hapo akipeana mkono na Mkumbwa Ally wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa
 Akisalimiana na Dr Hamisi Mwinyimvua

 Akiagana na Kamanda wa Mkoa maalumu wa kipolisi wa Dar es salaam Suleiman Kova.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment