Saturday, August 24, 2013

MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA MBIO ZAKE MKOANI DODOMA TAREHE 22/8/2013.

Viongozi/timu ya Mkoa wa Morogoro wakiusubiri kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Dodoma Tayari kwa kuukimbiza Mkoani Morogoro kwa kuanzia na Wilaya ya Gairo.


kutoka kuishangilia yanga mpaka kukimbiza mwenge/Vijana wa Kikundi cha hamasa kutoka Dodoma wakishangilia wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru baina ya Mkoa wa Dodoma na Morogoro yaliyofanyika kwenye kijiji cha ukwamani majawanga Kongwa kilichopo mpakani mwa Mikoa hiyo miwili.
 Mkuu wa  Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Joel Bendera kwa ajili ya kuukimbiza Mkoani humo.


No comments:

Post a Comment