Saturday, August 24, 2013

MWENYEKITI WA CCM TAIFA MH JAKAYA KIKWETE AWASILI DODOMA TAYARI KWA KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono Viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliofika uwanjani kumlaki.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana .
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndugu Adam Kimbisa.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa , Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Ndugu Khamis Sadifa Juma.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi  ndugu Octavian Kimario .


mkereketwa na mhamasishaji mkuu wa ccm mkoa wa dodoma bi bushura kitwana akimlaki mh rais jakaya kikwete alipowasili katika uwanja wa ndege mkoa wa dodoma tayari kwa kuongoza vikao vya chama hicho.

No comments:

Post a Comment