Wednesday, February 13, 2013

YANGA NOMA KWELIIIIIIIII YAUA 4-0 NESHINO

 Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza (kulia) akichuana kuwania mpira na beki wa African Lyon, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0, mabao 2, yakifungwa na Jerry Tegete, bao la 3 limefungwa na Didier Kavumbagu na bao la 4, limefungwa na Nizar Khalfan.
 Pande la maudhi, Haruna Niyonzima (katikati) akitoa pasi ya maudhi huku huku akiwa katikati ya wachezaji wa African Lyon.

No comments:

Post a Comment