Wednesday, February 13, 2013

REAL MADRID NA MAN U HAKUNA MBABE ZATOKA SARE YA 1-1

 Mshambuliaji wa timu ya Manchester United, Danny Welbeck (kulia) akiruka kupiga kichwa na kuifungia timu yake bao la kuongoza katika kipindi cha kwanza, dhidi ya Real Madrid, wakati wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa, uliochezwa usiku huu. Hadi zinamalizika dakika 90, timu hizo zimetoka sare ya 1-1, ambapo bao la Madridi la kusawazisha limefungwa na Christian Ronaldo.
Christian Ronaldo, akishangilia bao lake aliloisawazishia timu yake katika kipindi cha kwanza

No comments:

Post a Comment