Tuesday, February 19, 2013

MKUU WA KANISA LA OTHODOX ALIPOWASILI TANZANIA

8E9U1555Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Kanisa la Orthodox Pope Theodoros II(wapili kushoto) mara baada ya kufanya mazungumzo na kiongozi huyo ikulu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Askofu wa Mwanza na Bukoba Askofu Jeronymos. Nyuma ya Rais mwenye tai nyekundu ni mwenyekiti wa Hellenic society of Tanganyika Dimitris Mantheakis,  na kulia ni askofu mkuu wa Dar es Salaam na mashariki askofu Dimistrious.(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment