Thursday, February 7, 2013

STARS ILIVYOIADHIBU CAMEROON YA ET'OO 1-0 JANA

Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia) akimtoka beki wa timu ya taifa ya Cameroon kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika jana kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Taifa Stars iliibuka na ushindi wa bao 1-0, lililofungwa na Mbwana Samatta, katika dakika ya 89.
Samatta akiitesa ngome ya Cameroon.
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Erasto Nyoni (kushoto) akiambaa na mpira mbele ya beki wa Cameroon.
Krosi ...........

No comments:

Post a Comment