Saturday, February 9, 2013

dkt.shein akutana na ujumbe wa kituo cha biashara

IMG_8984
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Kiongozi wa Ujumbe
kutoka  Kituo cha Biashara  Duniani (ITC),Jacky Charbonneau,akiongoza
ujumbe wa watu wanne waliofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya
mazungumzo jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

No comments:

Post a Comment