Sunday, February 10, 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AWASILI DODOMA JIONI HII KUANZA VIKAO VYA CCM J3

 Rais Jakaya Kikwete, akivishwa Skafu na vijana wa Chipukizi CCM, mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma leo jioni kwa ajili ya kujiandaa na vikao vua CCM, vinavyotarajia kuanza jumatatu ya wiki ijayo mjini humo.
 Rais Kikwete, akifurahia kwa kupiga makofi wakati vijana wa Chipukizi wakimlaki kwa nyimbo za vijana, uwanjani hapo.
Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakati wa mapokezi ya rais jioni ya leo. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment