Tuesday, February 19, 2013

mh.lowassa akabidhi bajaji

bajaji1 1940c
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mh Edward Lowassa amekabidhi pikipiki  nne za miguu mitatu maarufu kama majaji za kubebea mizigo  zenye thamani ya kiasi cha  shilingi millioni 50 kwa umoja wa vijana wilaya ya Monduli, ili kusaidia vijana kukabiliana na tatizo la Ajira.Pichani Mh Lowassa akikabidhi pikipiki hizo kwa mmoja wa viongozi wa matawi ya vijana wilayani hapo, yumbani kwake Ngarash Monduli.

No comments:

Post a Comment