Friday, February 22, 2013

OFISA MAENDELEO WA FIFA Ashford Mamelodi KUKTANA NA WANAHABARI TFF KESHO


Waandishi wa habari za michezo mnatangaziwa kuwa, Ofisa Maendeleo wa FIFA Kusini mwa Afrika, Ashford Mamelodi, atakuwa na mkutano na waandishi wa habari. Mkutano huo utafanyika kesho Jumamosi (Februari 23 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF saa 5 kamili asubuhi. Tafadhali zingatia muda

No comments:

Post a Comment