Monday, February 11, 2013

NIGERIA WATWAA RASMI UBINGWA WA AFCON 2013 WAICHAPA BURKINA FASO 1-0

MICHUANO ya 29 ya Kombe la Mataifa Afrika, imemalizika jana usiku kwa timu ya Nigeria kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso, mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Soccer City.

No comments:

Post a Comment