Friday, October 4, 2013

REDDS MISS TANZANIA AWASILI NYUMBANI DODOMA KWA KISHINDO-MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMPONGEZA.

Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akiwa ameshika kipande cha keki  kumlisha Happiness Watimanywa kama ishara ya kumpongeza kwa kushinda taji la Redds Miss Tanzania 2013 akiwa mshiriki kutokea Dodoma kwenye mashindano ya mwaka huu.


Redds miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa akikata keki tayari kuwalisha wageni waliojitokeza kwenye hafla ya chakula cha jioni ya kumpongeza kushinda taji hilo, hafla hiyo ilifanyika katikati ya wiki kwenye hoteli ya Dodoma.

No comments:

Post a Comment