Saturday, October 5, 2013

GAME YA SIMBA NA RUVU SHOOTING IMEMALIZIKA UWANJA WA TAIFA KWA SIMBA KUKUBALI KUBANWA MBAVU NA KUTOKA SARE YA 1-1.


 Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akichuana na beki wa Ruvu shooting, stephano Mwasyika.
 Amri Kiemba akichuana beki wa Ruvu Shooting, Abuu Hashim.
 Hekaheka katika lango la Ruvu Shooting.
 Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Golikipa wa Ruvu Shooting, Abdul Seif akiokoa moja ya hatari langoni mwake.
 Berntram Mombeki akiruka daruga la beki wa Ruvu Shooting, Abuu Hashim

No comments:

Post a Comment