Wednesday, October 30, 2013

MUNGU BARIKI BABU SEYA,RUFAA YAO YAANZA KUSIKILIZWA.


 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza 'Papii Kocha' wakiwa katika chumba cha Mahakama ya Rufaa Tanzania jijini Dar es Salaam leo, kabla ya kuanza kusikilizwa kwa rufaa ya kesi yao kuitaka mahakama hiyo kupitia upya hukumu iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo. Nguza na Papii walihukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji na ulawiti. 
 Baadi ya watu waliohudhuria kusikiliza rufaa hiyo leo katika mahakama ya Rufaa.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza au Papii.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza wakiteta jambo na wakili wao, Mabere Marando.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza 'Papii' wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza maombi yao ya kuitaka mahakama hiyo kupitia upya hukumu iliyoitoa mwaka 2010.

No comments:

Post a Comment