Friday, September 27, 2013

WANASIASA ACHENI KAULI ZA UCHOCHEZI ZINAZOASHIRIA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI-SOPHIA SIMBA


 Waziri wa Manedeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba akitoa maelezo juu ya kauli zenye kuashiria uvunjifu wa sheria na tabia za vurugu katika jamii ambazo zilitolewa na baadhi ya wanasiasa hivi karibuni katika vyombo vya habari hapa nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Manedeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba wakati akitoa maelezo juu ya kauli zenye kuashiria uvunjifu wa sheria na tabia za vurugu katika jamii ambazo zilitolewa na baadhi ya wanasiasa hivi karibuni katika vyombo vya habari hapa nchin

No comments:

Post a Comment