Friday, September 27, 2013

BABU WA KIKOMBE AMBILIKILE MWASAPILA ANA KWA ANA NA WAZIRI MKUU LOLIONDO .


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisaliiana na Ambilikile Mwasapila maarufu kwa jina la Babu  wakati alipopita katika kijiji cha Samunge akilelekea Digodigo kuhutubia mkutano wa hadhara Septemba 24, 2013. Alikuwa katika  ziara ya wilaya  ya Ngorongoro

No comments:

Post a Comment