Sunday, September 22, 2013

HAPPYNESS WATIMANYWA KUTOKA DODOMA ATWAA TAJI LA REDDS MISS TANZANIA 2013.

 redds miss tanzania 2013 HAPPYNESS WATIMANYWA akipunga mkono mara baada ya ktangazwa kuwa mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu,kushoto ni mshindi namba 2 LATIFAH MOHMED na kulia ni mshindi namba 3 CLARA BAYO.
 warembo wa redds miss tanzania 2013 wakiwa jukwaani katika onyesho liliofanyika katika ukumbi wa MLIMANI CITY jijini dar es salaam
 warembo wakiwa wamependeza sana
warembo wakiwa katika shoo ya pamoja

No comments:

Post a Comment