Wednesday, September 25, 2013

PICHA ZA KIKOSI MAALUM CHA JESHI LA KENYA KATIKA HARAKATI ZA KUPAMBANA NA MAGAIDI HUKO WESTGATE,JUMLA YA WATU 72 WAMEPOTEZA MAISHA WAKIWEMO ASKARI 6 NA MAGAIDI 5.

Hapa ni mwendo wa mjusi 
Mawasiliano yakiendelea
Licha ya kadhia iliyopo hapo lakini Vibaka walikuwa wakinyemelea na hapa Polisi waliwapiga Bomu la machozi kuwatawanya.
Wazee wa kazi wakipata Chai

No comments:

Post a Comment