Sunday, September 22, 2013

SAFARI HII DODOMA FAMILY YATUA BABATI HAPA MKOANI MANYARA.

Sagulasagula ya nguo ikiendelea, wateja wakijinunulia  nguo kwa bei  poa kabisa moja ya magulio makubwa yaliyopo sehemu ya MAGUGU -BABATI.
Kama ilivyokuwa kawaida kwenye minada/magulio ya aina hii  kitu cha nyama choma hakikosekani, hapa bwana jerry mwakyoma mkuu wa msafara alivyobambwa na camera yetu akingojea nyama ziive.




Wadau hawa walikutwa na canera yetu wakitafuna nyama choma kwenye moja la banda la mamalishe ama mama pima kama wanavyojulikana kwenye baadhi ya  

1 comment: