Friday, September 20, 2013

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE BUSEGA -SIMIYU.


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lamadi kwenye Viwanja vya Kisesa wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu na kuwaambia wananchi kuwa muda wa walimu kuendelea kupata tabu umeisha na kuagiza mamlaka husika kutatua kero na madai ya walimu ndani ya miezi sita na kama wameshndwa wajiuzulu kupisha watu wengine.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Lamadi wilayani Busega kwenye Mkutano wa hadhara na kuwaambia wananchi wawe makini na makanjanja wa kisiasa ambao kwa sasa wamefunga ndoa batili kutaka kuvuruga mchakato wa kupata Katiba mpya.
 Kikundi cha Ngoma cha Mwanalyaku Dance Group kikionyesha uwezo wake wa kucheza ngoma ya bugobogobo ikiwa sehemu ya utangulizi kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara wa CCM uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

No comments:

Post a Comment