Thursday, May 9, 2013

ULINZI WAIMARISHWA KWENYE HUKUMU YA SHEIKH PONDA LEO

Hukumu ya  Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda  inatarajiwa kutolewa leo katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam ampapo ulinzi mkali umeimarishwa.

Kuimarisha ulinzi Mahakamani
Mwanamke akizungumza na maasikari waliokuwa wanalinda mahakamani leo

No comments:

Post a Comment