Thursday, May 9, 2013

MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI NA KAMPENI YA KUHAMASISHA KILIMO MKOANI HUMO

mh mkuu wa mkoa wa dodoma DR REHEMA NCHIMBI(kushoto) akiwa katika shamba la mpunga huko wilayani BAHI katika kampeni yake ya kuhamasisha kilimo mkoani DODOMA (kushoto mwenye kofia ni mkuu wa wilaya ya BAHI BI BETY MKWASA)

No comments:

Post a Comment