Thursday, May 9, 2013

HAYA NI MAMBO YA SHULE YA SECONDARY CHAGAA WILAYANI KONDOA-DODOMA WANAFUNZI WAKIPEWA ONYO.


Photo: Hapa ni katika shule ya sekondari Chagaa Wilayani Kondoa kwenye Mkoa wa Dodoma ambako Wanafunzi wa hii shule hutumia zaidi lugha ya Kirangi kuliko Kiswahili na Kiingereza, hivyo wamepewa onyo hapa..... unaweza kushea post hii na wengine waone mtu wangu

Hapa ni katika shule ya sekondari Chagaa Wilayani Kondoa kwenye Mkoa wa Dodoma ambako Wanafunzi wa hii shule hutumia zaidi lugha ya Kirangi kuliko Kiswahili na Kiingereza, hivyo wamepewa onyo hapa.

No comments:

Post a Comment