Wednesday, January 22, 2014

MAFURIKO YAVUNJA DARAJA DUMILA MAGARI KUTOKA DODOMA NA DAR HAYAVUKI.


MAFURIKO YAVUNJA DARAJA LA BEREGA
Mafuriko yamevunja daraja la Berega ambapo maji yanapita juu ya daraja lingine la Dumila katika barabara ya Morogoro – Dodoma hali iliyosababisha wasafiri kuendelea na safari zao. Hali hiyo inasababisha magari kupita upande mmoja kwa shida na wengine kusitisha safari zao na kugeuza huku kukiwa na msururu mkubwa wa magari yanayosubiri hali hiyo itengamae, watu walioshuhudia hali hiyo wamesema mafuriko hayo imetokana na mvua kubwa iliyonyesha maeneo hayo ambayo haijawahi kutokea kwa siku za karibuni na kutiririsha maji mengi kiasi hicho

No comments:

Post a Comment