Saturday, January 11, 2014

ABIRIA WA TRENI WALIOKWAMA DODOMA WAZIDI KUTESEKA HUKU SAFARI YAO IKIWA BADO NI KITENDAWILI.

Abiria waliokwa na treni Dodoma wakusubili mabasi kwa ajili ya usafiri
wa kuelekea mikoa ya Morogolo na Dar es saalam ambapo shirika la Reli
limewakodia mabasi kutokana na kushindwa kuendelea na safari kutokana
na Mafiriko Gulwe na Godegode wilayani Mpwapwa Dodoma.

Abiria hao wakiwa hawajui la kufanya kutokana na kukosa chakula katika
stesheni ya rellwe Dodoma walipotangaziwa kuanza kusafirishwa kwa
mabasi laki mpaka kufikia jana jioni zaidi ya abiria 900 walikuwa bado
hawapatiwa usafiri huo.

mizigo ya abiria hao ikiwa imetapakaa huku wakiwa bado hawajui hatma yao ya safari.
PICHA NA JOHN BANDA DODOMA

No comments:

Post a Comment