Wednesday, January 22, 2014

MH:MBUNGE WA CHALINZE SAID RAMADHANI BWANAMDOGO AFARIKI DUNIA.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne S. Makinda (Mb), anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Saidi Ramadhani Bwanamdogo Kilichotokea leo Jumatano asubuhi tarehe 22.1.2014 Katika hospitali ya MOI DSM alipokuwa amelazwa kwa Matibabu. 
Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi 
kwa kushirikiana na familia ya Marehemu.
Inna llilah Waina Illaih Rajiun!

SPIKA WA BUNGE,
22.01.2014

No comments:

Post a Comment