Thursday, January 2, 2014

ZITO KABWE AWEKA PINGAMIZI MAHAKAMANI JINA LAKE LISIJADILIWE KATIKA KIKAO CHA KAMATI KUU CHA CHADEMA.


Baada ya kuwepo kwa kila dalili za Mh.Zitto kabwe kutotendewa haki na Kikao cha Kesho cha kamati Kuu chadema.Zitto ameamua kuweka pingamizi la kukao hicho,kimahakama inawezekana na inaruhusiwa kuweka pingamizi ama kikao kisiwepo au wasikujadili kwenye kukao husika.
Slaa na mbowe wamekuwa akionesha dhamila ya wazi ya kutaka kumfukuza Zitto bila kufuata katiba ya Chama.
Awali Mwanasheria wa Zitto aliweka bayana kuwa Zitto alivuliwa nyadhifa zake CHADEMA bila kupewa nafasi ya Kuhojiwa,Mashitaka n.k kitu ambacho ni Ukiukwaji Mkubwa wa katiba.
Lakini pia siku za Karibuni Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amenukuliwa na Vyombo vya habari akisema hayupo tayari kuona Zitto anarejeshewa vyeo Ili hali Zitto amekata rufaa Baraza kuu la chama(Chombo cha juu kabisa cha Maamuzi) na akishinda vyeo anarudishiwa.

No comments:

Post a Comment