Sunday, January 5, 2014

RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WANANCHI KATIKA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA DR WILLIAM MGIMWA KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
akiambatana na familia yake wakati alipokuwa akiuaga na kutoa salamu
za mwisho kwa mwili wa marehemu Dr William Mgimwa aliyekuwa waziri wa
Fedha katika viwanja vya karimjee jana.

Makamanda mbalimbali wakiwa katika viwanja vya katimjee kwaajili ya
kuuaga mwili wa maremu Dr. William Mgimwa aliyefariki nchini africa ya
kusini siku ya kwanza ya mwaka huu ambao unatarijawa kufanyiwa ibada
maarumu na kuzikwa kijijini kwao kalenga mkoani iringa

Mke wa hayati Baba wa Taifa Maria Nyerere akiwasili katika viwanja
vya karimjee alipofika kutoa heshima ya mwisho kwa mwili wa marehemu
Dkt William Mgimwa ulioagwa leo jijini Dar es salaam .


Kiongozi wa kambi ya upinzani Freeman Mbowe akitoa salamu za rambirambi.


Mwigulu Nchemba akiongea jambo viwanjani hapo
Mwakilishi wa familia God Mgimwa akitoa shukurani
Baadhi ya watu wakiuaga mwili wa marehemu Mgimwa.
 PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment