Friday, February 28, 2014

MAMBO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJI WA DODOMA KWA SASA MAGARI KUONGOZWA NA TAA ZA BARA BARANI.

Mafundi wa kampuni ya Makenga Invest LTD ya moani Tabora wakifunga taa kwa ajili ya kuongozea madereva wanaendesha vyombo mbalimbali vya
barabarani mjini Dodoma, kwa mujibu wa kampuni hiyo taa hizi zinafungwa
maeneo ya njiapanda ya Area D, na Ndasha.

PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment