Thursday, March 6, 2014

VURUGU BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA MWENYEKITI AAMUA KUAHIRISHA BUNGE.


 Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma leo mchana baada ya Bunge hilo kuahirishwa ghafla kwa muda kutokana na kufuatia kutokea Sintofahamu baina ya wabunge waliokuwa wakirushiana maneno bila kujali utaratibu na kutishia kushikana mashati jambo lililomfanya mwenyekiti wa muda wa bunge hilo, Ameir Pandu Kificho kutangaza kuliahirisha kwa muda.
*******************************************************
Katika hali ya isiyokuwa ya kawaida ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo mchana kumeibuka mtafaruku baina ya wabunge na kuzua vurugu Kutokana na Vuruguru Kutokana na Hali ya Kutokuelewana kati ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mhe. Ole Sendeka, Kutoleana maneno na Mbunge Mwenzake wakati Mbunge Huyo alipohoji kuhusu Kanuni za kuendesha kikao hicho.

No comments:

Post a Comment