Monday, March 17, 2014

BREAKING NEWZ:MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA JAJI JOSEPH WARIOBA ASHINDWA KUWASILISHA RASIMU YA KATIBA BUNGENI WABUNGE WAZOMEA BUNGE LA AHIRISHWA.


Katika hali isiyotarajiwa na wengi Wabunge wa Bunge maalum la katiba wamezomea jioni yaleo na kusababisha bunge maalumu la katiba kuhairishwa pale aliyekuwa Mwenyekiti wa ukusanyaji wa maoni ya wananchi jaji Warioba kufika jioni ya leo nakutaka kuwasilisha rasimu ya katiba;iliyopelekea mwenyekiti wa bunge hilo Mh Sita kuhairisha bunge hilo baada ya yeye kushindwa kutumia njia ya kumfanya jaji Warioba kuendelea kuwasilisha rasimu hiyo. MUNGU SAIDIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUPATE KATIBA MPYA

No comments:

Post a Comment