Sunday, March 23, 2014

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA KANISA NA KUWAMIMINIA RISASI WAUMINI NA KUUA HUKO MOMBASA NCHINI KENYA

                            mkuu wa jeshi la polisi kenya (I G P)david kimaiyo.
polisi nchini kenya wamesema watu wenye silaha wamewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili baada ya kuvamia kanisa wakati wakiwa kwenye ibada ya jumapili na kuwamiminia risasi waumi hao huko mombasa

polisi wa kituo wilaya ya likoni huko mombasa  robert mureithi amesema kuwa watu hao wamemuua mwanaume mmoja na mwanamke mmoja katika tukio hilo ambalo watu kumi wamejeruhiwa,huku kukiwepo kwa onyo la waislamu kushambulia maeneo kadhaa.

No comments:

Post a Comment