Tuesday, January 6, 2015

POLISI WAFYATUA MABOMU KUZIMA VURUGU WAKATI WA ZOEZI LA KUAPISHWA WENYEVITI WA SERIKALI YA MTAA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM


Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa serikali Mitaa zinafanyika.
Vurugu hizo, zimeibuliwa na kambi ya upinzani ambayo imelalamikia kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyeapishwa hakuwa ameshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana.

No comments:

Post a Comment