Saturday, January 24, 2015

HIKI NDICHO ALICHOKIFANYA RAIS KIKWETE ATEUA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI KWA MARA YA 4 NDANI YA MIAKA 10

By Ombeni Sefue:.
Mabadiliko ya Mawaziri
.Mawaziri wawili wamejiuzulu
i) Ardhi-Tibaijuka
ii)Nishati na madini-Sospeter Muhongo
Walio teuliwa
1. George Simbachawene- Waziri Nishati
2.Mary Nagu-Waziri wa Nchi mawasiliano na Uratibu
3.Christopher Chiza-Waziri uwezeshaji na Uwekezaji
4.Halson Mwakyembe-Ushirikiano wa afrika mashariki
5.Lukuvi-Ardhi Nyumba na Makazi
6.Steven Wasira-Kilimo chakula na Ushirika
7.Samwel Sitta -Wizara ya Uchukuzi
8.Jenista Muhagama-Sera na uratibu wa Bunge

MANAIBU Waziri
Masele -OMR Muungano
Kairuki -  Ardhi
Ummy - Katiba na Sheria
Anna Kilango- Elimu
Mwijage - Nishati

No comments:

Post a Comment