Friday, January 2, 2015

PANYA ROAD WALETA BALAA DAR ES SALAAM.


Habari zilizotufikia muda huu zinasema kuwa vijana hatari kwa matukio ya unyang'anyi maarufu kama Panya Road, wamevamia maeneo ya Ubungo na Sinza muda huu, ambapo hadi sasa askari wapo eneo la tukio sinza wadhibiti matukio yanayojaribu kufanywa na wa vijana hao huku mabomu ya machozi yakirindima pande hizo. Wadau si vyema kwa muda huu kukatiza anga hizo kuweni makini

No comments:

Post a Comment