Wednesday, January 28, 2015

MWENYEKITI WA CUF PROF:IBRAHIM LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, akiwa kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo mchana wakati alipofika kusomewa shitaka la kesi yake ya jinai kwa kuwashawishi wafuasi wake kufanya fujo baada ya kutiwa mbaroni jana alipokuwa akiongoza maandamano ya wanachama wa CUF.
Prof. Lipumba akiwa kwenye kizimba cha mahakama tayari kusomewa shitaka linalomkabili.
Wafuasi wa CUF, wakiwa nje ya Mahakama hiyo wakimsubiri mwenyekiti wao....
Gari za Polisi zikiwa tayari nje ya Mahakama hiyo kukabiliana na vurugu ambazo zingejitokeza....huku wakiimarisha ulinzi.
Prof. Lipumba akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupata dhamana na kutoka nje ya Mahakama hiyo.

No comments:

Post a Comment