Sunday, August 31, 2014

TAZAMA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI ZA UZINDUZI WA VICOBA MKOANI DODOMA.

Mlezi wa Vicoba mkoani Dodoma Anthon Mavunde akipeana mikono na
Naibu waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Godfrey Zambi wakati wa
uzinduzi wa Vicoba uliofanyika jana
Wanachama wa kikundi cha vicoba cha kilimani a' wakishangilia
mara baada ya kutangazwa kushika nafasi ya pili baada ya kujiwekea
hisa za shilingi 23 mili na kupata zawadi ya laki tano toka makao
makuu ya vicoba nchini.

Mmoja wa wanavicoba akikabidhiwa friji ya kampuni ya cocacola
baada ya kufuzu vigezo vya biashara ya vinywaji na Naibu waziri huyo.

Rais wa Vicoba Nchini Devota Likokola akiiwa na baadhi ya viongozi
waliokuwa meza kuu wakati wa uzinduzi huo

 PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment