Saturday, August 30, 2014

MCHEPUKO NOMA:BINTI AFARIKI KWA AJALI MUME WAKE AKIWA KWENYE MIPANGO YA HARUSI YEYE AKIWA KWENYE MCHEPUKO.

 Binti ambaye hakuweza kufahamika jina lake kwa haraka (pichani chini), ambaye alikuwa afunge ndoa na mchumba wake hivi karibuni,  amepata ajali na kufariki dunia akiwa na 'mchepuko'.
Aidha imeelezwa kuwa wakati mchumba wake akiwa katika harakati za kukamilisha mipango ya ndoa akapata taarifa kuwa mchumba wake huyo amefariki kwa ajali ambapo hakuweza kuamini hadi alipoonyeshwa picha za ajali hiyo.
Imeelezwa kuwa marehemu alimuaga mchumba wake huyo kuwa anakwenda kulala kwa dada yake na kwenda kinyume na alivyoaga na kukutwa na ajali hiyo iliyompelekea umauti. Katika ajali ya gari hilo lililokuwa na wapenzi wawili wote wamepoteza maisha papo hapo huko mkoani Geita.
marehemu enzi za uhai wake (pichani chini na juu)

No comments:

Post a Comment