Wednesday, April 30, 2014

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA IBADA MAALUMU YA KUMUAGA ASKOFU WA KANISA KATOLIKI JIMBO LA DODOMA GERVAS JOHN NYAISONGA ANAHAMIA MPNDA MKOANI KATAVI IBADA HIYO IMEFANYIKA LEO KATIKA KANISA LA MT:PAUL WA MSALABA MJINI DODOMA

Waumini wa Madhehebu ya Roman Katoliki [RC] Jimbo la Dodoma wakiwa
katika ibada maalumu ya Shukurani kwa ajili ya kumuaga Aliyekuwa
Askofu wa jimbo hilo Gervas John Nyaisonga aliyehamishiwa Mpanda.
Mke wa Waziri mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma DKT Rehema Nchimbi na viongozi wengine Wakiwa katika ibada
maalumu ya kumuaga aliyekuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Dodoma Gervas
John Nyaisonga aliyehamishiwa Jimbo la Mpanda.
PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment