Thursday, November 13, 2014

WINDHOEK PARTY NDANI YA NYUMBANI PARK MOROGORO NI BALAAAAAH!


DJ Emmanuel akipagawisha wapenzi wa muziki. 
 Ofisa Mauzo wa Windhoek Kanda ya Kati, Emmanuel Mbaule (kulia), akiwa na mdau wa Windhoek katika club hiyo.
 Warembo hawa nao walikuwepo kupata Windhoek na burudani ya mziki hakika ilikuwa kama usiku wa Windhoek wacha tu wajimwaemwae.
 Hapa wakifurahi baada ya kupata Windhoek 'Chezea Windhoek wewe onja uone' kazi kweli kweli.
Tu tost kidogo jamani tuimarishe afya zetu kwa kunywa 
windhoek. Jamani ni tamu hizo we acha tu.

No comments:

Post a Comment